NA FARAJA MASINDE
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), Mhandisi Deodatus Kakoko, amedai kuwa kampuni ya PMM Estates (2001) Ltd, inashiriki katika vitendo visivyofaa vya kuficha makontena.
Mhandisi Kakoko alitoa hayo wiki iliyopita katika mahojiano maalum na RAI, ambapo alisema...