Habarinj wanajamvi,
Nimekaa nakuwaza nifanye biashara gani, baada ya kupata baadhi ya aina ya biashara ambazo naweza zifanya nikiwa hapa moja ni ya Kununua na Kuuza Plastiki ama Makopo yaliyotumika.
Faida ya kwanza nitatoa ajira, pili nitashiriki katika kuweka mji safi. Ila sina ufahamj wowote...