Tulimaliza Form four 2009
Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule
Shuleni hatukuwa marafiki kivile
Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine
Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk
Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii
Suala la michango
Michango...