makuyuni

  1. M

    Kimei aipa tano Serikali ujenzi wa barabara ya Himo - Makuyuni - Lotima

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ameishukuru Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha shilingi bilioni 3.681 za kujenga barabara ya kiwango cha kisasa...
  2. Erythrocyte

    Pre GE2025 CHADEMA yaendelea kuiteketeza CCM Tanga, Hii hapa ni kata ya Makuyuni

    Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, Nanukuu "KILA LENYE MWANZO HALIKOSI MWISHO" Kwa Taarifa za Uhakika nilizonazo ni kwamba muda wa ccm kuwatumia wakazi wa Tanga kama Tambala la kudekia umekwisha Huu hapa ni Mkutano wa Chadema kwenye Kata ya Makuyuni ulioongozwa na Freeman Mbowe leo 04/07/2024
Back
Top Bottom