Kutokana na kwamba mwanangu Marquise hataka kuchukua biashara niliyompa yenye thamani ya almost $5 milioni, nimeamua kuacha kumpa $6700 ya matunzo ya kila mwezi. Nafikiri ni wakati mitaa kumfundisha maisha.”
Hivi sasa sina tena uhusiano mazuri na mwanangu Marquise.
Ni hali ya kusikitisha...