Nina wadogo zangu wawili mmoja kahitimu SUA, mwingine T.I.A, hawa wote walilipa ada mwanzo, baadae walifanikiwa kulipiwa ada na Board ya mikopo.
Hivyo walipaswa kurejeshewa zile Ada walizo lipa, kama ndugu tulifurahi wao kulipiwa ada, lakini kurejeshewa ada ni haki Yao, lakini imepita zaidi ya...
Chuo Cha Duce ( Dar es salaam University College of Education)
Department ya fedha inawasumbua wanafunzi wanaodai refund.
Refund hyo ni pesa ambazo wanafunzi wanapaswa kurudishiwa baada ya wao kulipa pesa kama ada ya masomo nk. Kwa chuo na hali ya kuwa serikali imeidhinisha walipiwe kama...
Anonymous
Thread
malalamikoyarefundrefund duce
refund wanafunzi duce
Rejea kwenye mamaliko ya uzi huu - Chuo Kikuu cha Mzumbe chakiri Wanafunzi zaidi ya 500 wanadai malipo ya 'refund' chuoni hapo
Hadi Leo hii pesa zetu bado hatujalipwa na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa zaidi ya kuzungushwa tu.
Tunaomba mtusaidie wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe Morogoro...
Anonymous
Thread
chuo kikuu mzumbe
malalamikoyarefundmalalamikoya wanafunzi
refund wanafunzi mzumbe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.