Nina wadogo zangu wawili mmoja kahitimu SUA, mwingine T.I.A, hawa wote walilipa ada mwanzo, baadae walifanikiwa kulipiwa ada na Board ya mikopo.
Hivyo walipaswa kurejeshewa zile Ada walizo lipa, kama ndugu tulifurahi wao kulipiwa ada, lakini kurejeshewa ada ni haki Yao, lakini imepita zaidi ya...