On 10 June 2024, a Malawi Defense Force aircraft carrying Malawi's Vice-President Saulos Chilima along with nine other passengers disappeared from radar, prompting a search and rescue operation.
Jana, habari zilisambaa kwamba ndege ya Makamu Rais wa Malawi Saulos Chilima ilipotea wakati wa safari kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu (Lilongwe) kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mzuzu. Wakati ndege ya Makamu Rais haijapatikana wala kurejeshwa hadi sasa, uvumi tayari umeenea...
Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera ametangaza kupatikana ndege ya Jeshi la Malawi iliyokuwa imembeba makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Klaus Chilima (51) ikiwa imepata ajali katika msitu wa Chikangawa.
Ndege hiyo ilioondoka Lilongwe saa 3:17 asubuhi jana Juni 10, 2024 na ilipangwa kutua...
aircraft missing
amefariki
dkt.saulos chilima
dkt.saulos chilima afariki
kifo cha makamu malawi
kushiriki
makamu
makamu malawi kupetea
makamu wa rais
malawimalawivicepresidentmissing
ndege kupotea
plane missing
rais
safari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.