Nakwenda kwenye mada ni wiki mbili zimepita Rais Trump alisema serikali ya Burundi ni hatari kwa usalama wake , tamko hilo lilikanushwa na serikali ya Burundi kupitia msemaji wa serikali, sasa mimi najaribu kujiuliza na sipati picha U.S.A kuhofia ki inchi kidogo na maskini kabisa .
Je ni nini...