malengo ya utajiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TUKANA UONE

    Kilichofanya wazazi wako wasiwe Matajiri miaka hiyo ndicho kinafanya wewe usiwe tajiri miaka ya leo. Acha lawama!

    Kumekuwa na mitazamo ambayo inaambatana na lawama kutoka kwa watu tofauti tofauti wakiendelea kuwalaumu ndugu zao au wazazi wao eti kwanini wamekuja mjini hasa Dar es Salaam miaka ya nyuma ambayo kila kitu kilikuwa cheap (rahisi) na hawana maeneo, nyumba Wala ukwasi ambao wanadai Kwa miaka hiyo...
Back
Top Bottom