malezi bila baba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Wanawake wa Mpanda walia na waume zao kukimbia majuku ya familia

    Wababa wa Mpanda mbona hivyo lakini? Ila wanaume wengi wa mikoani wamekuwa wategevu kwa namna fulani katika kujishughulisha na majukumu ya kuelea familia, hii sasa ni balaa na tabu tupu! ================== Kampeni ya msaada wa kisheria ya "Mama Samia Legal Aid Campaign" inaendelea mkoani...
  2. Mshana Jr

    Kuna baadhi ya wazazi wanaishi kwa siri na maumivu makubwa. Wanatamani wawaombe watoto wao msamaha lakini hawajui waanzeje

    Ni mpaka uishi hayo maisha ndio unaweza kupata hisia halisi za hii mada. Hapa nazungumzia wale wazazi kwa sababu zozote zile waliwatelekeza watoto wao udogoni na kuja kuonana nao ukubwani. Hapa nazungumzia wale wazazi ambao walitengena kwa sababu zozote zile na watoto kulelewa na mzazi mmoja...
  3. RIGHT MARKER

    Maumivu ya kulea mtoto bila uwepo wa karibu wa baba yake, yasikuyumbishe kwenye maisha

    📖Mhadhara wa 22: Ni kama zimeanza kujengeka fikra na hisia mbaya za kudhani kwamba kuwa SINGLE MOTHER ni kufeli maisha, au ni maumivu makubwa kuliko maumivu mengine yoyote hapa duniani. Kama una fikra hizo achana nazo zitakuchelewesha. Kuna baadhi ya wanawake baada ya kujikuta wamekuwa SINGLE...
  4. RRONDO

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
Back
Top Bottom