malezi bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Braza Kede

    Je inawezekana kwa familia ya wafanyakazi kuishi bila dada wa kazi au ni kujiendekeza tu?

    Je inawezekana kwa familia ya wafanyakazi kuishi bila dada wa kazi au ni kujiendekeza tu? Naongelea kwa nyumba yenye baba na mama tu na wote ni wafanyakazi muda wote wote wanakuwa kazini na hawana watoto. Je una mifano hai ya walioweza kuishi wenyewe?
  2. amarina

    Nina mpango wakuzuia TV nyumbani kwangu naona watoto wanaharibika

    Wakuu za usiku. Nina TV na madishi ya azam na mengine. TV mbili. Nawaza hapa, enzi zetu hatukuwa na TV hivi sasa watoto wanapoteza muda kwenye katuni na movies. Hii inanipa picha najenga kizazi cha kukaa na kuangalia TV, Watu wavivu, Ombaomba na Maskini. Hii haikubaliki Naomba kutoa...
  3. B

    Wazazi waaswa kuzingatia kuwapeleka watoto wao shule zenye malezi bora

    Uongozi wa kituo maalum cha kulelea watoto cha Bero Kids (Bero Kids Day Care) kilichopo jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja mgeni rasmi na wahitimu wa mahafali ya pili. Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Kinondoni Bi. Fatuma Juma akizungumza wakati wa mahafali ya pili ya kituo...
  4. W

    Safari ya Malezi Bora wakati huu wa likizo

    Wakati wa likizo ni fursa ya kipekee kwa mzazi au mlezi kujenga uhusiano bora na mtoto. Huu ni muda wa kumfundisha ujuzi muhimu kama vile usafi, kupika, kuogelea, au hata kutembelea maeneo ya kufurahisha. Mbali na hilo, likizo ni wakati wa kuonesha upendo kwa mtoto wako, kumfundisha kujieleza...
  5. Magical power

    Mfundishe mwanao majukumu yale ambayo yatakuwa faida kwenye maisha yenu na yake ya baadaye kwasababu huyo ni mume au mke wa mtu wa baadaye

    Mfundishe mwanao majukumu yale ambayo yatakuwa faida kwenye maisha yenu na yake ya baadaye kwasababu huyo ni mume au mke wa mtu wa baadaye pia ni mwanafamilia wako Mama/baba mfundishe kijana wako wa kiume swala la kuosha vyombo, kupika na kufua nguo si swala la mwanamke na huyo binti yako pia...
  6. G

    Wazazi mnaolinda sana watoto kupitiliza, mnawaandaaje kukabiliana na maisha halisi ya hapa Bongo?

    Watoto wana haki ya kudeka na kufaidi matunda ya wazazi lakini ni muhimu pia wao wajifunze kuwajenga uwezo wa kujisimamia bila backup ya mzazi. Kwa maisha ya kiuhalisia ya hapa bongo lolote laweza tokea ila angalau mtu ajue kujifulia nguo, kuweza kutumia usafiri wa umma, kuweza kula vyakula...
  7. Richard mtao

    Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika malezi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma

    Hellow JF. Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika swala la malezi na makuzi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma. Hivi leo kumekuwa na visa vingi sana mitaani vikahusishwa na malezi pamoja na makuzi ya watoto. Leo jamii zinalia juu ya tabia na mienendo ya watoto...
  8. G

    Kijana wangu miaka 11 kashaanza kutongoza na kujisifu handsome boy, kanistua sana, nichukue hatua zipi?

    Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet. Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi...
  9. Saad30

    Wazazi Wanaume tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu

    Habari wakuu. Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu. Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana. Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia. Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Tabia ya Wanawake wanaong'ang'ania Watoto huku hawawezi kuwatunza ikomeshwe. Ni ukatili Kwa Watoto

    TABIA YA WANAWAKE WANAONG'ANG'ANIA WATOTO HUKU HAWAWEZI KUWATUNZA IKOMESHWE. NI UKATILI KWA WATOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nasema haya baàda ya Yale yanayotokea kwèñye jamii zetu. Ukatili, maumivu, mateso na uharibifu wa Ndoto za Watoto wengi zilizotokana na ubinafsi mbaya...
  11. Bob Manson

    Don't just teach your children to read, teach them to question what they read, to question everything

    You go talk to kindergarten or first grade kids, you find a class full of science enthusiasts. And they ask deep questions.. They ask ! "What is a dream, why do we have eyes, why is the moon round, what is the birthday of the word, why is the grass green?. These are profound and important...
Back
Top Bottom