Hellow JF.
Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika swala la malezi na makuzi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma.
Hivi leo kumekuwa na visa vingi sana mitaani vikahusishwa na malezi pamoja na makuzi ya watoto.
Leo jamii zinalia juu ya tabia na mienendo ya watoto...
TABIA NA MAKUZI
Kuna hii tabia ambayo sio nzuri kwenye daladala. Kuna hawa wadada wakiingia na watoto wao wadogo wanataka kupishwa kwenye seat ila siku wakiwa na pesa za kuwalipia hao watoto wao seat hawataki hawa watoto wawapishe watu wazima waliosimama kisa tu wamelipa pesa.
Hii kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.