Je, wazazi wako walikua na ukaribu na wewe, walikutia moyo, waliongea na wewe pale ulipohitaji, walitenga muda kwa ajili ya kufanya vitu pamoja na wewe au upendo wao ulionyeshwa kwa kutimiza majukumu yao ya kimsingi na kutilia mkazo nidhamu zaidi (baba au mama akifika nyumbani kila mtu...
Habari wakuu.
Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu.
Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana.
Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia.
Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote
Salam Wakuu,
Katika malezi ni muhimu sana mtoto ajihisi kupendwa na wazazi wake ama na yoyote anayemlea. Ni ngumu kwa mzazi/mlezi kuwapenda watoto wote sawa, lakini ni muhimu kwa watoto wote kujihisi wanapendwa na kujaliwa na wazazi/walezi wao.
Mtoto anayepata mapenzi na upendo kutoka wa...
Watu wengi wakiwa watoto wanafanyiwa matukio ya kuumiza na kwasababu ya udogo wao wengi hupuuzwa au kuongezewa maumivu badala ya kushughulikia madhara yaliyoletwa. Kutokana na dhana iliyojengeka kuwa "Mkubwa hakosei" wazazi/ walezi wengi huwa hawaombi msamaha endapo amemkosea mtoto, na watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.