malezi ya mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. RIGHT MARKER

    Maumivu ya kulea mtoto bila uwepo wa karibu wa baba yake, yasikuyumbishe kwenye maisha

    📖Mhadhara wa 22: Ni kama zimeanza kujengeka fikra na hisia mbaya za kudhani kwamba kuwa SINGLE MOTHER ni kufeli maisha, au ni maumivu makubwa kuliko maumivu mengine yoyote hapa duniani. Kama una fikra hizo achana nazo zitakuchelewesha. Kuna baadhi ya wanawake baada ya kujikuta wamekuwa SINGLE...
  2. Stroke

    Watoto wa nje wanatesa mno. Imagine mtu kumuona mwanae saa sita usiku

    Nilikua nimekaa mahali mida ilikua imekwenda kidogo. Sasa akaja jamaa akapaki hapo. Zikapita dakika kumi akatoka mwanamke na mtoto mdogo wa kiume. Akaingia ndani ya usafiri wa jamaa wakaongea like 30 mins. Then wakaagana. Sasa mtu unapata tabu kuona mwanao mida ya wachawi mbaya sana.
  3. GoldDhahabu

    Malezi ya mtoto introvert

    Wakati familia nyingi za nchi zilizoendelea zikijitahidi kuwalea kwa umakini watoto wenye tabia za uintrovert, hali ni tofauti huku Uswahilini. Watoto introvert hukumbana na kadhia ya kulazimishwa kuwa extrovert jambo ambalo haliwezekani. Lakini kuwa introvert au extrovert si tatizo. Tafiti...
  4. henrymimbo

    SoC04 Afya ya mtoto pindi anazaliwa ni bora zaidi kwa makuzi na malezi ya mtoto hii itasaidia kuleta kizazi bora hapa nchini

    UTANGULIZI afya bora ya mtoto inaanzia pale mama anapojigundua kuwa ni mjamzito, kipindi cha miezi tisa (9) ya uleaji wa mtoto ,kipindi cha kujifungua na kipindi cha miezi 6 ya mwanzo ya ulezi , hapi ndipo afya bora ya mtoto inaanzia na kuimarika ili kujenga taifa lenye watu bora wenye akili...
  5. FPN

    Mambo 7 ya kuzingatia katika malezi ya mtoto

    YAFUATAYO NI MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MALEZI YA MTOTO WAKO KULINGANA NA DUNIA INAVYOKWENDA . 1. Mfundishe mtoto kumjua na kumtanguliza Mungu katika kila Jambo analolifanya( Everything to put GOD first) Haijalishi kwa Imani gani atayokua nayo lakini Jambo muhimu kumtanguliza Mungu kwa...
  6. cold water

    Malezi ya mtoto baada ya kuachana yana changamoto zake

    Heloe JF, Kuna kitu napitia kizito kidogo, Mimi ni binti wa makamu nilibahatika kupata mtoto, lakini kuna maugomvi ya hapa na pale yalisababisha kuachana na baba mtoto, mtoto alichukuliwa na ndugu zake upande wa kiume. Sasa karibu shule zinafungwa nazani baba ake atamchukua kwaajili ya...
  7. Ebejo

    Je, ni kiwango gani sahihi cha fedha kumpatia mzazi mwenzako kwa ajiri ya malezi ya mtoto?

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, pia ni kijana ninayezidi kupamba kukumbizana na umasikini, Nahitaji ushauri maana mimi mwaka jana nilibahatika kupata mtoto japo haikua malengo yangu kwani mama wa mtoto tulikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye tamasha la sabasaba nikiwa na ni rafiki...
  8. T

    SoC03 Malezi ya Mtoto hutoa mwelekeo katika maisha yake

    Mtoto ni hazina ya taifa. Malezi ya mtoto huanza pale anapozaliwa na kuanza kujenga uhusiano baina ya mtoto na mzazi au mlezi wake. Naposema malezi bora aidha kutoka kwa mzazi wake au mlezi hupelekea mwelekeo au dira ya mtoto kama wahenga walivyosema "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo" hapa...
  9. R

    Mara ya mwisho kumwambia Mwanao unampenda ni lini?

    Salam Wakuu, Katika malezi ni muhimu sana mtoto ajihisi kupendwa na wazazi wake ama na yoyote anayemlea. Ni ngumu kwa mzazi/mlezi kuwapenda watoto wote sawa, lakini ni muhimu kwa watoto wote kujihisi wanapendwa na kujaliwa na wazazi/walezi wao. Mtoto anayepata mapenzi na upendo kutoka wa...
  10. sajo

    Operation Kataa Ndoa - SAWA, vipi kuhusu child support, nayo utakataa? Jifunze hapa kuhusu malezi na matunzo ya Mtoto (Sheria ya Mtoto) ujipange!!

    Operation imepamba moto, vijana wanahimizana kukataa ndoa kwa kutokuoa ila hakuna anayepinga kuhusu suala la kujaza ulimwengu. Mizagamuano na misuguano inaleta sio tu raha na burudani kwa wafanyaji bali pia inaleta watoto kwenye dunia. Wakishakuja sasa wapenzi wanaanza kukimbiana na wengine...
Back
Top Bottom