Wakuu.
Nipo DSM nimeuza Nyumba ya urithi na kupata mgao wa mil 15 .
Naomba ushauri nifanye Biashara gani yenye low risk .
Niliwaza hizi Biashara
Money transactions
Duka la vipodozi ambalo litakuwa na cheap products .
Duka matumizi ya Nyumbani .
Biashara zote hizi nimezitengea mtaji mil...