Wakuu aliyekuwa mgombea wa nafasi ya mwenyekiti CHADEMA Taifa, Odero Odero alipofanya mahojiano na Edwin Odemba amegusia suala la wale wa kila jambo tunamshukuru mama, tunamshukuru Rais, yani hotuba anaijaza shukrani lukuki kuliko hoja za msingi.
====
“Leo hii Mbunge akisimama kuzungumuza...
Seriously watu roho inawauma Kwa mfano Rais awe na billion zake 20 mnataka asiwe nazo asiwekeze? Mimi naona Rais ni mtu mkubwa anaweza akapewa hata zawadi na kiwanja cha cement wakampa macement kibao akaenda kujenga anachokiwaza. Mlitaka Hayati Magufuli asimiliki manyumba ambayo watu kibao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.