malimao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Asante Bwana Yesu, malimao, ndimu na pilipili kichaa zangu haziibiwi tena

    Nilishuhudia enzi za kujifukiza na kula malimao, ndimu na pilipili kichaa wizi mkubwa shambani kwangu wa mazao hayo. Tangu Mwendazake aondoke, sasa kila kitu hakina soko /soko limekuwa kama limeisha/limepungua baada ya advocate wa tiba hiyo kuondoka. Asante Bwana Yesu siibiwi tena
  2. Red Giant

    Tiba ya malimao na kitunguu saumu haijaanza leo kuleta utata

    Wakuu kuna huyu mama alikuwa waziri wa Afya wa Africa kusini kipindi cha Thabo Mbeki, alikuwa anaitwa Manto Tshabalala Masimang. Huyu alikuwa anapinga kuwa VVU haisababishi UKIMWI na akawashauri wananchi watumie malimao na vitunguu saumu kutibu UKIMWI. Mbeki alikuwa nyuma yake naye akiamini VVU...
  3. R

    Natafuta malimao

    Wakuu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata malimao kwa bei ya jumla tafadhali anijuze. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom