Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuna changamoto ya ufatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi hasa Fedha za likizo na malimbikizo ya mishahara.
Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza fomu maalumu(unajaza) pamoja na barua za maombi lakini hayafanyiwi kazi tunapata changamoto tusaidiwe.
Ebana wanajamvi inakuwaje?
Kampuni ya ulinzi Bond security Arusha imefunga mageti yote ya Hospitali ya Selian Jijini Arusha na kuondoka.
Kampuni hiyo ilifanya hivyo kwa kudai malimbikizo ya mishahara ya miezi 6 shilling million 42.
Ambapo mkuu wa kampuni hiyo ya ulinzi akisema waliwapa notice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.