malimbikizo ya mishahara sanitas

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Sanitas Hospital imefungwa ghafla (Mei 22 usiku) ikiacha wafanyakazi wake wakiwa wanadai malimbikizo ya mishahara

    Hospital hiyo imefungwa ghafla huku staff wakiwa wanadai fedha za malimbikizo ya mishahara ya miezi 12 nyuma ambayo tuliahidiwa tungeaza kulipwa taratibu ndani ya mwaka Jana lakini haikufanyika. Pamoja na kwamba tulipunguziwa mishahara kwa asilimia 40 tukipewa ahadi kwamba mambo yatakuwa sawa...
Back
Top Bottom