Matumizi ya kadi za malipo katika mfumo wa malipo ya serikali ni hatua muhimu kuelekea kuboresha uwazi na ufanisi katika usimamizi wa fedha za umma.
Hata hivyo, tatizo la wizi wa kadi za malipo limekuwa kikwazo kikubwa katika kufikia malengo haya. Kadi hizi zinapotumiwa vibaya, zinachangia...
Wadau habari za mchana.
Kuna hili jambo la kulipishwa gharama ya malipo ya Serikali namawakala nilikuwa nalisikia kwa watu leo limenikuta.
Nimeenda kufanya malipo ya TZS 560,000/= kwa CONTROL NUMBER 991440462684, Wakala wa Benki ya CRDB kaniambia nilipe TZS 1500/=
Nilipouliza ni malipo ya...
Jamani wakuu mimi ni mhitimu wa diploma nahitaji kuendelea kusoma bachelor lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET.
Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka saivi sms ya GEPG ipo inasema nimelipia lakini NACTE wamekua wakinitumia control number nyingine...
hivi inakuwaje malipo ya serikali yanayo tumia mfumo rasmi wa Benk kama Digipass.
Ikifika weekend haifanyi kazi au pengine hufanya kazi kwa 25% na kwa sikukuu kama hizi ndio kabisa sijiu wanazima kabisa.
Fikiria karibia National parkfees zote Tanzania zinatumia huo mfumo halafu kwa sikukuu...
Siku kadhaa zilipita nikiwa na piga story ndugu mmoja alisema alikuwa na faini polisi kwa makosa ya barabarani. Siku aliyotaka kulipa faini akakuta faini ile imeshalipwa. Akashukuru sana.
Hivi karibuni nimelipa faini kwa hii app na matokeo yamekuwa nimelipa bill ya mtu mwingine hivyo nimeingia...
Katika uchumi kila namba ina umuhimu mkubwa either ni kubwa au ndogo hivi sasa Tanzania kwenye currency system sarafu ya Tshs 50 ndio kima cha chini kama means of exchange na Noti ya 10000 ndio kima cha juu.
Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.