malipo ya serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tabutupu

    Tahadhari: Usilipe malipo ya Serikali kwa simu, Malipo hayaendi kwa leo

    Kama unalipa malipo ya serikali kwa leo, ni bora utumie bank kuliko mobile money, ukilipa unakatwa na malipo yako hayafiki taasisi inayo husika.
  2. milele amina

    Matumizi ya Kadi za Malipo ya Wizi katika Malipo ya Serikali ni nini kifanyike?

    Matumizi ya kadi za malipo katika mfumo wa malipo ya serikali ni hatua muhimu kuelekea kuboresha uwazi na ufanisi katika usimamizi wa fedha za umma. Hata hivyo, tatizo la wizi wa kadi za malipo limekuwa kikwazo kikubwa katika kufikia malengo haya. Kadi hizi zinapotumiwa vibaya, zinachangia...
  3. mpasta

    Kero ya kutozwa pesa na mawakala wa benki kwa malipo ya Serikali

    Wadau habari za mchana. Kuna hili jambo la kulipishwa gharama ya malipo ya Serikali namawakala nilikuwa nalisikia kwa watu leo limenikuta. Nimeenda kufanya malipo ya TZS 560,000/= kwa CONTROL NUMBER 991440462684, Wakala wa Benki ya CRDB kaniambia nilipe TZS 1500/= Nilipouliza ni malipo ya...
  4. B

    KERO Msaada: Nahitaji kuendelea kusoma shahada lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET

    Jamani wakuu mimi ni mhitimu wa diploma nahitaji kuendelea kusoma bachelor lakini siwezi kuendelea bila kupata AVN kutoka NACTEVET. Tangu mwezi wa 7 nimelipia sh 15,000/= ili kupata lakini mpaka saivi sms ya GEPG ipo inasema nimelipia lakini NACTE wamekua wakinitumia control number nyingine...
  5. H

    Kuna tatizo kwenye malipo ya serikali/Digipass

    hivi inakuwaje malipo ya serikali yanayo tumia mfumo rasmi wa Benk kama Digipass. Ikifika weekend haifanyi kazi au pengine hufanya kazi kwa 25% na kwa sikukuu kama hizi ndio kabisa sijiu wanazima kabisa. Fikiria karibia National parkfees zote Tanzania zinatumia huo mfumo halafu kwa sikukuu...
  6. Analogia Malenga

    App ya malipo ya Serikali mtandaoni ina shida kubwa sana, rekebisheni haraka

    Siku kadhaa zilipita nikiwa na piga story ndugu mmoja alisema alikuwa na faini polisi kwa makosa ya barabarani. Siku aliyotaka kulipa faini akakuta faini ile imeshalipwa. Akashukuru sana. Hivi karibuni nimelipa faini kwa hii app na matokeo yamekuwa nimelipa bill ya mtu mwingine hivyo nimeingia...
  7. BabaMorgan

    Malipo ya serikali na figure ambazo hazipo kwenye mzunguko wa fedha

    Katika uchumi kila namba ina umuhimu mkubwa either ni kubwa au ndogo hivi sasa Tanzania kwenye currency system sarafu ya Tshs 50 ndio kima cha chini kama means of exchange na Noti ya 10000 ndio kima cha juu. Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa...
Back
Top Bottom