malipo ya uhamisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watumishi wahamishwa bila malipo licha ya agizo rasmi, sheria inasemaje?

    Watumishi wamehamishwa kutoka kituo A cha kazi kwenda vituo vingine bila malipo, ingawa agizo la uhamisho lilitolewa na kamati maalumu ya ukaguzi. Mkuu wa idara, akionyesha nia njema, aliwaita ofisini ili kila mmoja achague kituo cha kazi kwa maandishi. Hata hivyo, amezitumia barua za...
  2. A

    KERO Stahiki za malipo ya uhamisho Kisarawe

    Wilaya ya kisarawe, hivi karibuni kumefanyika uhamisho wa baadhi ya watumishi kwenda vituo tofauti vya kazi, uhamisho huo umefanyika bila malipo ya stahiki ambazo watumishi wanatakiwa kupatiwa ili kufanikisha kuhama kwao. Tatizo hili limekuwa linafanyika kwa miaka na miaka kwa hiyo kumekuwa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…