malipo ya wastaafu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Swali la Mbunge Ruhoro kuhusu malipo ya wastaafu halikujibiwa kwa usahihi

    Katika kikao kinachoendelea bungeni Mbunge Ndaisaba Ruhoro wa Ngara alihoji kuhusu maboresho ya pensheni za wastaafu kutokana na kupanda kwa hali ya msisha. Naibu Waziri Katambi kajibu kwa hoja za actuarial science na eti mapitio ya pensheni hufanyika kila miaka 3. Ukweli ni kwamba ktk kipindi...
  2. R

    Kunani PSSF, pensheni ya Julai vipi? Au mmefilisika!

    Ilisemwa semwa kuwa mmefilisika , mfuko una hali mbaya. Muda wote pensheni za wastaafu zinalipwa 23/ ya kila mwezi ithout miss. sasa mwezi jana na huu, mambo hayako sawa. Samia, hawa ndio wa kuwatumbua, siyo mashirika ha habari chini ya TTCL kwa kumpongeza Nape PSSSF sema kama mmefilisika.
  3. Waziri Ndejembi: Rais Dkt. Samia anaguswa na kujali maisha ya wafanyakazi, amenyanyua kikokotoo

    RAIS DKT. SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI, AMENYANYUA KIKOKOTOO: WAZIRI NDEJEMBI BILIONI 155 ZA KIKOKOTOO KUTUMIKA KUWALIPA WASTAAFU KUANZIA JULAI 2022 - JULAI 2024 "Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitisha inaonyesha ni namna gani Rais wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…