Yani kuweka Sura ya Rais kwenye miili ya VIJANA waliochoka namna hii nayo nikumkosea na kumchoresha Rais.🤣🤣
Unasema Rais anaupiga mwingi halafu wananchi wake ndio wamepauka hivi!
Wangekua wanawapiga misosi na kuwanunulia VIATU na Suruali waendane na sifa anazopewa Rais aisee 🤣 sio kuwavisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.