mama maria nyerere

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Pre GE2025 Mama Maria Nyerere aitaka CCM kusimamia ipasavyo Serikali

    Mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kutimiza wajibu wake wa kuzisimamia Serikali zake zote mbili ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na uwezo wa kujitegemea, hasa katika kujilisha. Mama Maria ameyasema hayo...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Madaraka Nyerere aeleza maoni ya Mama Maria Nyerere kuhusu Uchaguzi wa CHADEMA, asema uchaguzi umeenda vizuri

    Wakuu Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti...
  3. K

    Leo nimemuona mama Maria Nyerere bado yupo imara

    Leo Katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, nimemuona mama yetu mama Maria Nyerere akipokea picha ya mwalimu Nyerere toka Kwa mpiga picha mzungu. Kusema ukweli nimefurahi sana kumuona bado yupo imara. Tena ametoa bonge la maoni juu ya maendeleo ya nchi Kwa Sasa. Hii...
  4. benzemah

    Rais Samia awatembelea Mzee Makamba, Mama Maria Nyerere pamoja na Familia ya Marehemu Membe leo 14 Julai 2023

    Kwa nyakati tofauti leo Julai 14 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea na kumfariji Mama Dorcas Membe Mjane wa Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje Hayati Bernard Membe nyumbani kwake Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Rais Samia pia amemtembelea Katibu Mkuu...
  5. TODAYS

    Mama Maria Nyerere anatimiza miaka 93 leo. Karibuni tumtakie matashi mema

    Tarehe 31.12.1929 alizaliwa mke wa Rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Kwa lugha ya kibantu tunasema 'sabukuu' ya Mama Maria Nyerere. Wasomi wa lugha na mnaofahamu kizungu kuliko kiswahili neno sabukuu kwa kiswahili ni mazazi kizungu ni "birthday". Mama yetu leo anatimiza...
  6. Mohamed Said

    Historia ya Ali Msham, mwalimu na mama Maria Nyerere Magomeni Mapipa 1954

    Katika historia za wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika lakini wamesahaulika historia ya Ali Msham ina sehemu ya pekee moyoni kwangu. Tafadhali isikilize historia yake:
  7. Q

    Makongoro Nyerere: Mama Maria Nyerere yeye hana makuu

    Akiongea na East Africa Radio leo kuhusu maadhimisho ya Miaka 100 ya Nyerere, Makongoro Nyerere ametoa “kifumbo” ambacho wachambuzi wa mambo wanahusisha na kauli ya mama Salma Kikwete kuhusu mafao ya wenza wa marais. "Mama Maria Nyerere kama siku 14 zilizopita nilipata taarifa kutoka kwa...
  8. Mohamed Said

    Mama Daisy, Mama Muni (Bi. Zainab Sykes) na Mama Maria Nyerere 1950s

    MAMA DAISY, MAMA MUNI (BI. ZAINAB SYKES) NA MAMA MARIA NYERERE 1950s Nimetanguliza picha katika bandiko kabla ya hili mama zetu wanapiga kura mwaka wa 1962. Yapi yalikuwa maisha ya wake wa viongozi wa TANU kipindi kile cha kupigania uhuru?
  9. Mohamed Said

    Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika: Mama Maria Nyerere na mabaibui katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja

    MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA: MABAIBUI YALIYOMPOKEA MWALIMU NA MAMA MARIA NYERERE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Katika mazungumzo na BBC Swahili jana Mama Maria Nyerere amewasifia mama zetu kwa ushujaa wao wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika. Dada yangu...
  10. Mohamed Said

    Mama Maria Nyerere anawakumbuka wanawake wavaa mabaibui waliopigania Uhuru wa Tanganyika

    Miaka 60 ya uhuru:Kinamama wengine hawakujua kusoma -Mama Maria Nyerere 6 Disemba 2021 'Katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika, ambayo sasa ni Tanzania, BBC imefanya mahojiano na watu mbalimbali, na miongoni mwao ni Mama Maria Nyerere ambaye ni mjane wa baba wa Taifa hilo Mwalimu...
  11. Darren2019

    Maoni: Mama Maria Nyerere apumzishwe na matukio ya kiserikali, atulie ailinde afya yake

    Wakuu nawasalimu kwa jina la muumba wetu sote. Nimejaribu kuwaza tu kuhusu umri wa mama Maria Nyerere na haya matukio ya kiserikali tukizingatia na hali ya hewa ya huu ulimwengu kwa sasa naona ingekuwa vema tu kukampumzisha maana ni hafla ashahudhuria nyingi mno, kwa sasa anastahili kutulia...
  12. Mohamed Said

    Duka la mafuta ya taa la Mama Maria Nyerere Kariakoo na Magomeni

    DUKA LA MAFUTA YA TAA LA MAMA MARIA NYERERE KARIAKOO NA MAGOMENI 1955 Duka la kwanza la Mama Maria Nyerere lilikuwa Mtaa wa Livingstone na Mchikichi kisha Mama Maria akafunga duka hili la Kariakoo kwa ajili ya umbali baada ya kuhamia Magomeni Maduka Sita kwa msaada wa Ali Msham aliyekuwa...
Back
Top Bottom