mama n'tilie

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mama N'tilie kuweni wasafi, mnawaharibia wenzenu

    Nitangulize angalizo, sio wote wasiozingatia usafi, naamini ni 6% ndo wanawaharibia wenzao! Ngoja niwape story. Nyakati za alfajiri nimemsindikiza bonge wangu kuelekea ubungo kwa wifi yake akae huko ili kesho kutwa aelekee Kibaha! Wakati narejea nyumbani, muda ule nimeshuka kwenye daladala...
  2. Chakula cha Mama Ntilie ni kwaajili ya masikini

    Sina mengi wakuu nawasalimu. Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini. Mabenchi machafu Viti vimevunjika Meza chafu, inzi wakutosha Msosi sometimes unanuka moshi Wahudumu wachafu Customer care iko chini Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura. Mchele...
  3. Hadhi ya Posta Mpya imeharibiwa na biashara za machinga na mama lishe

    Ukweli utawala wa awamu ya 5 kuruhusu wamachinga na mama lishe. Kufanya biashara popote watakapo na wasibughudhiwe ulikuwa na ushamba wa aina yake. Zamani maeneo ya Posta yalikuwa ni maeneo ya kuvutia sana sio kwa wageni bali hata kwa wenyeji. Yalikuwa masafi yasiyo na misongamano ya hovyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…