Amri inayosema mheshimu baba yako na mama yako,inapatikana mara nyingi katika biblia.
(Kutoka 20:12, Kumbukumbu la Torati 5:16, Mathayo 15:4, Waefeso 6:2,3)
[ KUTII AMRI HIYO KUNAHUSISHA KUFANYA MAMBO YAFUATAYO:-]
1>-WATHAMINI:-Unawaheshimu baba
Na mama yako unaposhukuru kwa ajili ya mambo...