Kiuhalisia jamaa aliyefanya Poaching hana kosa kwa Mujibu wa kanuni asilia kwa sababu Mnyama kama Mamba yupo kwenye Top of Food Chain, yani ni mnyama hasiyekuwa na Natural Predator au competition kutoka kwa Predators wa jamii nyingine tofauti na wanyama kama Simba, Chui, Duma na Fisi ambao kila...