Pole na majukumu natumai wote ni wazima wa afya na akili pia Kuna rafiki yangu ana mke wake ana siku nyingi hajawanae karibu alikuwa nje kikazi amerudi mwezi wa nane tareh 20 akakutana na mwenza wake kimwili pasipo kinga.
Hofu aliyo kuwa nayo sasa nikuambukizwa HIV kwasababu amesikia habari...