Tanzania Airports Authority
Katika mitandao ya kijamii kunasambaa taarifa katika picha mjongeo kuhusu kukosekana kwa huduma yam aji katika maliwato iliyochapishwa tarehe 24 Julai, 2024 na abiria Dudubaya na Bushoke. Abiria hao walikuwa wanasafiri na ndege ya shirika la ndege ya Kenya Airways...