Football ni mchezo uliotengenezewa udikiteta mwingi sana..
Moja ya udikiteta huo ambao kwangu nauona kama kero ni role ya refa mchezoni..mathalani:
1. Uamuzi wa Refa utakuwa wa mwisho katika mazingira yeyote yale.
2. Mchezo hauwezi kurudiwa au matokeo kubadilishwa hata kama itabainika...