Tabia aliyoianzisha Lema ya kujifanya ni nabii aliyetumwa na Mungu kutabiri mambo mbalimbali sasa inashika kasi na wameanza kuibuka watu mbalimbali maarufu na walio wa kawaida tu nao sasa wakijafanya ni manabii katika siasa za nchi, huu ujinga na utapeli ukomeshwe sasa.
Katika taifa la watu...