1. Wanajali zana pesa kuliko kumtumikia Mungu.
2. Wanaamini Yesu sio Mungu.
3. WANA MADHABAHU ZAO, hata maombi wanaomba kwa madhabahu ya mtumishi huo, sio kwa Jina la Yesu, wanaamini madhabahu yao ina nguvu, kumbe Nguvu zetu zinapaswa zitokane na Roho.
4. Injili zao muda mwingi ni za miujiza...