management

  1. Alvin_255

    Bubble Theory: A Management Tool for Person Memory

    It has become clear from the literature of psychology in general and therapeutic psychology in particular that certain events in anyone's memory must occupy a central position and have a significant impact on that person's thinking and behavior. These events can be divided into positive events...
  2. T

    Interview za TRA zinakaribia soon naomba msaada jamani nondo za tax management officer

    Msaada wadau maaana sielewi ni guse wapi navurugwa tu hapa mwenye idea jamani naomba masaada maeneo ya kugusa ili nisipishane na keki ya TAIFA hii TRA huko
  3. julaibibi

    Maeneo mengi ya Kigamboni yana mandhari mazuri lakini usimamizi ndio kikwazo. Maeneo mengi bado yana mapori!

    Wote tunaona jinsi mataifa madogo madogo yenye rasilimali chache yanavyofanikiwa kutokana na mipango bora ya usimamizi. Hali hii inajidhihirisha pia kwa Kigamboni, ambalo linabarikiwa na ufukwe wa bahari wenye umbali wa kilomita 70, wenye mchanga mweupe na mandhari nzuri. Hata hivyo, kutokana...
  4. F

    Erasmus Mundus GOALS Scholarship 2025/27: A Fully-Funded Master's Degree in Sports Management: Application assistance will be given

    Navigate www.researchlinktz.com and view the "Opportunities' page to see this scholarship. If you want to apply we can give assistance. You can write to info@researchlinktz.com or see contacts in the website above.
  5. M

    Contract and Case Management system

    Habari wote, kazi yetu ni kutengeneza mifumo ya Computer. Kwa sasa nawaletea mfumo ambao unasimamia na kurekodi maswala yote ya mikataba pamoja na kesi. Kwa makampuni ambayo yanakua na mikataba mingi ambayo ina expiry date,basi hiii itakusaidia kuweka kumbukumbuku zote za mikataba,ukiweza pia...
  6. M

    Contract and case Management System-Mfumo wa kusimamia mikataba na kesi

    Habari wote, kazi yetu ni kutengeneza mifumo ya Computer. Kwa sasa nawaletea mfumo ambao unasimamia na kurekodi maswala yote ya mikataba pamoja na kesi. Kwa makampuni ambayo yanakua na mikataba mingi ambayo ina expiry date,basi hiii itakusaidia kuweka kumbukumbuku zote za mikataba,ukiweza pia...
  7. wa kibondemaji

    Data management

    Habari wakuu naombeni mimi ni CO muajiriwa serikalin kutokana na kuwa na muda mwingi kazin kwangu nimewaza kusoma kozi ya data management pale open university bika kuomba ruhusa kazin,vipi kuhusu upatikanaji wa ajira au recategorization nitakapomaliza degree yangu?
  8. Its Pancho

    Kwa walimu tu; Bachelor of education in special needs vs Bachelor of education in policy planning and management ipi inamfaa mdogo wangu?

    I salute you kinsmen. Mdogo wangu kutoka kijijini alichaguliwa chuo huku mjini na ndio vile alipata ualimu kama mnavyojua maskini yeye ni ualimu ndiyo unamfaa ameona. Alichaguliwa hiyo Bachelor of education in policy planning and management lakini aliomba Bachelor of education in special...
  9. M

    Tusaidiane kuhusu kozi hizi za Masters za Education

    Tusaidiane kuhusu Masters of Educational Management and Administration NA Masters of Education in Administration, Planning & Policy Studies M. Ed (APPS)
  10. and 300

    Achana na kamati za harusi kodisha Events management company

    Punguza stress na kutafutana maneno na ndugu. Ukitaka kuoa kodisha kampuni ya event management wakuandalie sherehe
  11. K

    Changamoto ya msimamizi wa kampuni ya mikopo kutokuwa na time management

    Wakuu habari za muda huu ,hope mko poa walio wagonjwa ,wenye huzuni Mwenyezi Mungu awasaidie Hivi karibuni nilipata kazi katika kampuni inayojishughulisha na mikopo mkoa (X) as a guest kwenye hii kazi na mshahara ni 200k per month n+ plus posho kwa mwajiriwa miezi 3 ya mwanzo Lakini...
  12. M

    VIONGOZI AINA YA MAGORI PALE SIMBA NI TATIZO LA KWANZA KWENYE MANAGEMENT, WANAZO AKILI ZA KIZAMANI NA MAMBO YA KIZAMANI!

    Niliwai kusema ya kuwa Simba inaongozwa na wazee ambao Awana Tena ubunifu wa kuipeleka timu mbele bali wamebakia na mawazo ya kizamani na akili za kizamani awabadiliki kulingana na wakati bali wamekwamia hapo walipo Awana vision yoyote ya kuivusha Simba! Viongozi awa wamekuwa wakicheza sana na...
  13. Tabutupu

    Tetesi: Transforming IFM into the University of Management & Applied Science

    A Vision for Academic Excellence The Institute of Finance and Management (IFM) has a rich history of providing quality education in the field of finance. As the institute has matured and expanded its course offerings, it is now poised to take a significant step forward: transforming into the...
  14. J

    Business managing system (POS)

    Je, unahitaji mfumo wa kisasa wa kusimamia biashara yako kidigitali? Business management Systems inakupa uwezo wa kusimamia biashara yako kwa kutengeneza Invoice, Proforma, na Delivery Notes kwa urahisi. Mfumo huu unatumika kwenye computer na simu pia, hivyo unaweza kutumia popote ulipo...
  15. Jazajuan

    The Institute Of Finance Management (IFM) Special Thread

    The Institute of Finance Management (IFM) is a public Institute in Tanzania established in 1972. It stands as the oldest higher learning financial institution in Tanzania. The institute has been involved in teaching, research, and consultancy. Currently, the Institute enrolls about 9228 students...
  16. S

    Kuna miaka itafika, kutakuwa na vyuo vya watu kusomea ujinga ili wafanikiwe (foolish skill and management)

    Kwa hali ninavyona mimi! Elimu yetu afrika iko nyuma sana na ulimwengu unavyokwenda kwa kasi! Elimu yetu inakwenda kuwa siyo kitu cha kujivunia tena kuwa nacho maana haitakuwa na msaada kiuchumi! Elimu yetu itakwenda kuongeza utapeli mwingi kwa watu Elimu yetu inakwenda kuwafungia watu...
  17. C

    Social work vs environment science and management

    Wakuu habari.. afanye confirmation kozi gani kati ya hizo mbili yenye fursa ya kuajiriwa na kujiajiri. Ahsanteni
  18. Gilbert Jorge

    Project Management Software for Construction

    Construction sites – contracts out and about today are synonymous with the deafening sound of machines and people buzzing around, the never-ending pressure to finish activities. But the truth of the matter is, work-life for many project managers is a 24/7 tug-of-war with time constraints, budget...
  19. Dr Matola PhD

    Ni muda muhafaka sasa wa NHIF ikabidhiwe kwa management ya kukodi kutoka ulaya, sisi tumeshindwa

    Nimefikiria sana kuhusu muarobaini wa NHIF, nimeangalia mradi wa mabasi Udart nimeangalia bandari nimepata conclusion sisi tuna tatizo kubwa sana kuliko tunavyofikiria. Ukianza kufuatilia vitu sensitive kama huduma za afya utagunduwa NHIF imeshashindwa majukumu yake na solution pekee ni...
  20. Mr Chromium

    Kulalamika kwa SGR kuhusu kuhujumiwa ni management failure!

    Hii habari nimeiona wasafi. Takukuru wameibua hujuma za wateja wanaokata ticket za masafa mafupi kisha wanasafiri masafa marefu!! Kwanza ncheke😂😂😂😂 Ni kweli tumefikia huku yaani kaishu kadogo hivo hadi takukuru igundue Uongozi wa Treni haujajua? Na kwwnini iwe ishu wakati ni vitu ambavyo huwa...
Back
Top Bottom