Kundi la AFC/M23, leo 28 February 2025, limewatangaza viongozi wapya wa jimbo la Kivu kusini, ambao ni
• Bwana BIRATO RWIHIMBA Emmanuel, Gavana wa jimbo
• Bwana DUNIA MASUMBUKO BWENGE, Naibu gavana wa mambo ya siasa, uongozi na sheria.
• Bwana GISHINGE GASINZIRA Juvénal, Naibu gavana wa uchumi...