Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo...
Manara abused yanga fans and their leaders . Today is out here , claiming he is more of a yanga fan than the rest of Yanga fans.
Yanga fans are taken as fools . In day light
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.