Mangi-Tungi is a prominent twin-pinnacled peak with plateau in between, located near Tahrabad about 125 km from Nashik, Maharashtra, India. Mangi, 4,343 ft (1,324 m) high above sea level, is the western pinnacle and Tungi, 4,366 ft (1,331 m) high, the eastern. Mangi-Tungi is only 100 km away from Dhule, a well known city and district place in North Maharashtra (Khandesh).
Walifika kwa kupitia bandari ya Mombasa.Kisha wapagazi waliwasaidia kubeba mizigo yao na safari kuendelea, wakati huo kulikuwa hakuna namna yeyote ya usafiri kutoka Dar kwenda Kilimanjaro.
KUna kisa kimoja cha Mchingaji Gutman wa Ujerumani alipokuwa njiani kutokea MOmbasa walikutana na Nyumbu...
Members wa Jm F Niwaletee kisa cha Jamaa yetu mmoja ukiwa na ushauri mzuri nitampelekea. Ujumbe huo.
Kijana mwenzetu kutoka moshi Ana hisi kukata Tamaa maana amefanya biashara ya duka Nikaenda poa Sana Ila alvyotaka kuongeza fremu ya pili akayumba kabisa.
Akarudi kwenye kazi za kuajiriwa akawa...
Msikilize Mwaisa anaongea kiutani utani ila ujumbe ni mzito sana,
"Mangi kweli wewe ni mkali ila mwachie dogo Mwanasheria anavisheni"
Kucheka pia ni sera ya Tundu Lissu,🤣🤣
Jamii nyingi hazina hii pressure, mnakutana kiukoo kwenye misiba na sherehe, Imeisha hio!!
Kwa upande mwengine sana kuna haka kautamaduni mnakutana wiki hadi mwezi kwa dhumuni la kujuliana hali, kutambulisha wanafamilia wapya, n.k. Na ole wako ukose sasa kwenda kijijini, kelele zinaanza...
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;-
Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani,
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA,
Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO...
Wakuu, wale wenyewe experience ya aina hizi mbili za businesses ipi inaweza ikaleta manufaa kwangu? NB mi mwenyewe ni fundi ila nitakua sikai mimi labda mi nitakua nakaa kuanzia jioni. Sababu nina mishe ingine pale atakua anakaa dogo so. Asanteni.
Kiongozi wa Wachagga wa Old Moshi. Alinyongwa na Wajerumani kwa kukataa ukoloni, Wajerumani wakaondoka na fuvu lake, hadi leo hawajalirudisha.
Mangi Meli Kiusa, Alipambana na Wajerumani kwa kuwashinikiza waondoke katika himaya yake, jambo ambalo Wajerumani walilipinga kwa kudai kuwa baba yake...
Taarifa za hivi punde timu ya taifa ya Tanzani aningia dimban kucheza afcon
Kama mzalendo tunawatakia kila la kheri ingawa mpaka sada hali sinnzuri kitabu kinasoma tunafungwa 2-0/2-1/3-1
Wish u all again alldbest
MANGI MKUU THOMAS MAREALLE MANGI MSWAHILI
Mara yangu ya kwanza kusoma historia ya Mangi Mkuu Thomas Marealle ilikuwa ndani ya Nyaraka za Sykes wakati natafiti kitabu cha maisha ya Abdul Sykes.
Kwa bahati mbaya sikuweza kutumia yale niliyosoma katika kitabu nilichokuja kuandika kwa kuwa mengi...
Bila shaka duka la mangi ndilo la pili kuajiri watanzaniw wengi baada ya kilimo. Karibu kila mtaa utakuta kuna maduka ya Mangi kuanzia mawili na kuendelea.
Umbali wa dakika tano toka hapo ulipo kuna maduka ya mangi mangapi? Watu wengi sana nchi hii wanaendesha maisha kwa kutegemea duka la...
Tukihahahaaa kupata mil 5 ya mama.leoooi mpaka sasaaa sahani iasomaa ht yanga tumepigwa 2-0
kipindi cha pili tutapata goli kupitia mmoja wa mabeki wetu ama wa katiiiii
kama juhudi zikiendelea naona Yangawakipewa penalty ingawa zitakuwa zimebk dk nyiingi
hapa mashabiki mkitarajia timu drw...
Habari za muda huu wanachama wa jukwaa la Biashara.
Nimekuja kwenu leo hii nikihitaji dira ya wapi ni pazuri zaidi kwa biashara ya duka la mangi kati ya Kahama au Tunduma.
Kwa kifupi nimefanya ajira Arusha kwa muda mrefu sana, takribani miaka miwili nikaacha na kuanza kuuza duka la Mangi hapa...
Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa!
Meneja wa kitengo wa timu unapotezea tu watu hela zao, wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua...
Salaam Wakuu,
Kuna Video inasambaa ikimuonesha Sheikh akiomba kwa Mwenyezi Mungu muumba Mbingu na Nchi amchukue Msanii wa Bongo Fleva Afande Sele kabla ya ramadhan kufika. Je, kulikuwa na ulazima huo?
Afande Sele anatuhumiwa kumkufuru na kumkashifu na kumkejeli na kumkifuru Mungu. Afande Sele...
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.