mangi

Mangi-Tungi is a prominent twin-pinnacled peak with plateau in between, located near Tahrabad about 125 km from Nashik, Maharashtra, India. Mangi, 4,343 ft (1,324 m) high above sea level, is the western pinnacle and Tungi, 4,366 ft (1,331 m) high, the eastern. Mangi-Tungi is only 100 km away from Dhule, a well known city and district place in North Maharashtra (Khandesh).

View More On Wikipedia.org
  1. Sababu moja wapo MANGI kuwakubali Wamisionari Kilimanjaro

    Walifika kwa kupitia bandari ya Mombasa.Kisha wapagazi waliwasaidia kubeba mizigo yao na safari kuendelea, wakati huo kulikuwa hakuna namna yeyote ya usafiri kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. KUna kisa kimoja cha Mchingaji Gutman wa Ujerumani alipokuwa njiani kutokea MOmbasa walikutana na Nyumbu...
  2. Mbwembwe za huko moshi wakati huu wa sikukuu za xmas

    Members wa Jm F Niwaletee kisa cha Jamaa yetu mmoja ukiwa na ushauri mzuri nitampelekea. Ujumbe huo. Kijana mwenzetu kutoka moshi Ana hisi kukata Tamaa maana amefanya biashara ya duka Nikaenda poa Sana Ila alvyotaka kuongeza fremu ya pili akayumba kabisa. Akarudi kwenye kazi za kuajiriwa akawa...
  3. N

    Mwaisa: Mangi tunakubali wewe mkali ila mwachie dogo Mwanasheria utafurahi

    Msikilize Mwaisa anaongea kiutani utani ila ujumbe ni mzito sana, "Mangi kweli wewe ni mkali ila mwachie dogo Mwanasheria anavisheni" Kucheka pia ni sera ya Tundu Lissu,🤣🤣
  4. G

    Ni aibu kurudi kijijini kila mwaka hujapiga hatua, Ni lazima utarudi mjini na hasira ya kuzisaka noti, kwenye ukoo unadharaulika kama huna pesa

    Jamii nyingi hazina hii pressure, mnakutana kiukoo kwenye misiba na sherehe, Imeisha hio!! Kwa upande mwengine sana kuna haka kautamaduni mnakutana wiki hadi mwezi kwa dhumuni la kujuliana hali, kutambulisha wanafamilia wapya, n.k. Na ole wako ukose sasa kwenda kijijini, kelele zinaanza...
  5. Mwenye CV ya Mangi wa Wamachame ,Gilbert Gilead Shangali, tunaiomba tafadhali!

    Ninaomba kuwasilisha!
  6. Mangi aingizwa cha jiji

    Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;- Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani, Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA, Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO...
  7. Duka la mangi vs men salon

    Wakuu, wale wenyewe experience ya aina hizi mbili za businesses ipi inaweza ikaleta manufaa kwangu? NB mi mwenyewe ni fundi ila nitakua sikai mimi labda mi nitakua nakaa kuanzia jioni. Sababu nina mishe ingine pale atakua anakaa dogo so. Asanteni.
  8. Fanya biashara kisasa ukiwa na Lipa kwa Mpesa

    Offline ❌🥶
  9. Mangi Meli (1866 - 1900)

    Kiongozi wa Wachagga wa Old Moshi. Alinyongwa na Wajerumani kwa kukataa ukoloni, Wajerumani wakaondoka na fuvu lake, hadi leo hawajalirudisha. Mangi Meli Kiusa, Alipambana na Wajerumani kwa kuwashinikiza waondoke katika himaya yake, jambo ambalo Wajerumani walilipinga kwa kudai kuwa baba yake...
  10. Taifa stars tunafungwa bao 3 nk..nikopale kwa mangi

    Taarifa za hivi punde timu ya taifa ya Tanzani aningia dimban kucheza afcon Kama mzalendo tunawatakia kila la kheri ingawa mpaka sada hali sinnzuri kitabu kinasoma tunafungwa 2-0/2-1/3-1 Wish u all again alldbest
  11. Mangi Mkuu Thomas Marealle Mangi Mswahili

    MANGI MKUU THOMAS MAREALLE MANGI MSWAHILI Mara yangu ya kwanza kusoma historia ya Mangi Mkuu Thomas Marealle ilikuwa ndani ya Nyaraka za Sykes wakati natafiti kitabu cha maisha ya Abdul Sykes. Kwa bahati mbaya sikuweza kutumia yale niliyosoma katika kitabu nilichokuja kuandika kwa kuwa mengi...
  12. Elimu ya kuendesha duka la "mangi" itolewe mashuleni

    Bila shaka duka la mangi ndilo la pili kuajiri watanzaniw wengi baada ya kilimo. Karibu kila mtaa utakuta kuna maduka ya Mangi kuanzia mawili na kuendelea. Umbali wa dakika tano toka hapo ulipo kuna maduka ya mangi mangapi? Watu wengi sana nchi hii wanaendesha maisha kwa kutegemea duka la...
  13. HT T I7P MAZEMBE ATAONGOZA 2..NIKO PALE KWA MANGI WAKALAA

    Tukihahahaaa kupata mil 5 ya mama.leoooi mpaka sasaaa sahani iasomaa ht yanga tumepigwa 2-0 kipindi cha pili tutapata goli kupitia mmoja wa mabeki wetu ama wa katiiiii kama juhudi zikiendelea naona Yangawakipewa penalty ingawa zitakuwa zimebk dk nyiingi hapa mashabiki mkitarajia timu drw...
  14. Duka la mangi: Tunduma/Kahama

    Habari za muda huu wanachama wa jukwaa la Biashara. Nimekuja kwenu leo hii nikihitaji dira ya wapi ni pazuri zaidi kwa biashara ya duka la mangi kati ya Kahama au Tunduma. Kwa kifupi nimefanya ajira Arusha kwa muda mrefu sana, takribani miaka miwili nikaacha na kuanza kuuza duka la Mangi hapa...
  15. N

    Ujinga uliopitiliza wa Digital Manager wa Yanga Priva Mangi Shayo

    Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa! Meneja wa kitengo wa timu unapotezea tu watu hela zao, wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua...
  16. Style mpya ya kukopa kwa Mangi

  17. Afande Sele( Seleman Msindi), asomewa dua ya kufa kabla ya Ramadhan ya 2021 kufika, atuhumiwa kumkufuru Mungu

    Salaam Wakuu, Kuna Video inasambaa ikimuonesha Sheikh akiomba kwa Mwenyezi Mungu muumba Mbingu na Nchi amchukue Msanii wa Bongo Fleva Afande Sele kabla ya ramadhan kufika. Je, kulikuwa na ulazima huo? Afande Sele anatuhumiwa kumkufuru na kumkashifu na kumkejeli na kumkifuru Mungu. Afande Sele...
  18. Pole sana ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu ulilopewa na Rais

    Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo. Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa! Hakika mitano tena.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…