mangungu ajiuzulu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tate Mkuu

    Hivi lile sakata la baadhi ya mashabiki wa simba kumshinikiza Mwenyekiti wao Mangungu kujiuzulu, limefikia hatua gani mpaka sasa?

    Nilipenda tu kujua kwa kweli. Maana kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kumtishia usalama wake! Ila cha kushangaza kwa sasa naona habari ya mjini ni Thank you tu kwa baadhi ya wachezaji ndiyo imetawala! PIA SOMA - Wanachama wa Simba 'Aggy Simba' na Dkt. Mohammed wafungiwa...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Mangungu jiuzuru kuepuka aibu ya kung'olewa na wanachama

    Kwa takribani saa 48 sasa kuna mambo kibao yanaendelea ndani ya Simba. Tajiri Mohamed Dewji ‘MO’ ameingia msituni mwenyewe. Ameamua kufumua kitu kimoja baada ya kingine kwa vitendo katika kuhakikisha Simba inakuwa moto wa kuotea mbali msimu ujao na kurejesha heshima ambayo imepoteza katika...
Back
Top Bottom