APRILI 8, 2012, ilikuwa Pasaka. Wakati huo nilikuwa Mhariri Mwandamizi wa magazeti ya Global Publishers LTD, vilevile Mratibu Mkuu wa Matukio wa kampuni. Na kwa nafasi hiyo, pia nilikuwa Mwandaaji Mkuu wa matukio kwenye ukumbi wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem.
Kipindi hicho, Dar Live...