Msitu huo umegeka kuwa Shamba la Kuchoma Mkaa, Kuni na Mipini na hivyo kuhatarisha biodiversity iliyopo
Ni eneo pekee lililobakia kwenye Uluguru lenye Low land Miyombo, pia ni nyumbani mwa wanyama Kama nyani, kima, ngedere, mbega, dikidiki hata nyoka na chatu na viumbe wengine.
Ni chanzo cha...