Manji amefungua kesi dhidi ya Kagoda akiidai sh 18.7.
Manji aliyedai kuidhamini kampuni tata ya Kagoda kurejesha serikalini bil 40 iliyoibiwa kutoka akaunti ya EPA, sasa anaishitaki Kagoda kwa kutomrejeshea fedha zake ..
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal
Source: MwanaHALISI