Ni baada ya leo kuichapa ManCity 2-1 uwanja wa Wembley huku golikipa Onana akiwa man of the match.
---
Manchester United imefanikiwa kubeba Ubingwa wa FA Cup 2024 kwa kuifunga Manchester City katika Fainali kwa magoli 2-1 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London
Magoli ya Alejandro Garnacho na...
Wakuu.
Kumeibuka mjadala mkubwa juu ya uwezo wa golikipa Aishi salum manula kuwa wapo wanaodai kiwango kimeshuka sana lakini naona yule bado sana.
Ujue manula ni muhanga wa mazingira! Ndiyo .
Alipata jeraha kubwa sana na akakaa muda mrefu nje .
Kikawaida jeraha kubwa kama hilo mchezaji...
Manchester United is delighted to confirm that the club has reached agreement with Juventus for the transfer of Cristiano Ronaldo, subject to agreement of personal terms, visa and medical.
Cristiano, a five-time Ballon d’Or winner, has so far won over 30 major trophies during his career...
Corolla Manual ipo Ukonga mazizin
full AC
Gari imekaza Sana
cc 1490
Bei poa sana Mil 2.8 fixed.
pga Sim 0683011003
Njoo ukague gari na fundi wako hakuna picha zaidi ya hizi
Mwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19
Atakumbukwa kwa wimbo wake wa Soul Makossa.
ZAIDI SOMA
Emmanuel N'Djoke Dibango, known as Manu Dibango...
Manu inatia huruma haina tena mvuto mashabiki wake wengine wamejificha kwenye timu zingine. timu yenye thamani kuliko timu zote duniani, timu yenye mashabiki kuliko timu zote duniani inakufa nini kifanyike kuinusuru?
Binafsi mimi ni shabiki wa manchester ila ukweli hii timu imeoza imeoza...
Habari wana jamvi,
Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji.
Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.