manukato

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Superficial

    Je, ni manukato (perfume) gani yanafaa zaidi kwa hali ya hewa ya joto sana?

    Ninaishi katika jiji lenye joto kali na halijoto hufikia 35°c kwa urahisi kwa hivyo karibu harufu yoyote ile huhisi kuudhi. Je, ni perfume gani inayoweza kuburudisha hisia hiyo? Kwasababu kwa ninavyofahamu kila perfume hutengenezwa kulingana na hali ya hewa la eneo,sasa juzi nilijichanganya...
  2. Almendezz

    List Expensive Perfumes na clones zake kwa wenye vipato vya chini

    Salaam. Wapenzi wa manukato nimewaandalia list ya Perfume maarufu (na zenye bei mbaya) na clones zake zinazofanana kwa asilimia 60 mpaka 90. Unaweza kuwa ni mpenzi wa perfume fulani lakini hali ya kifedha ikawa hairuhusu hivyo unaweza kupata clone au wenyewe wanaita dupes ambazo zinakuwa bei...
  3. Donkey

    KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

    Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa. Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
  4. JEJUTz

    Jitahidi manukato na marashi yasiwe kero kwa wengine

    It's JEJUTz here! Ni kweli kabisa ni jambo zuri kuoneka mtanashati na mrembo popote uonekanapo.Ni jambo jema kuonekana wa kisasa na unaependeza kwa mpangilio wa mavazi yako l. Ila kuna hii issue moja huwa ni kero na ni nadra mtu kukuambia ila ukweli watu huumia na kugugumia moyoni kimya kimya...
  5. Pang Fung Mi

    Wanawake wengi wanaojivunia Uzuri wa Makalio wamejisahau kwenye Usafi wa Mwili: Wazingatie Manukato baada ya kuoga

    Sina mengi sana ile wenye wapenzi vibonge tunapata hio kero ya kujirudia miongoni mwa vibonge ambao ni wapenzi wetu. Vibonge ukiona mwanaume hakutafuti mara kwa mara jiulize kama sio shoo mbovu basi ujue umekosa maksi kwenye Usafi wa mwili. Zama hizi sabuni nzuri zipi na perfume nzuri zipo...
  6. Nyafwili

    Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? 🤔

    Habari za majukumu wana JF, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. 🤝🤝 - Watu wanaweza kuwa na tabia na matarajio tofauti sana katika uhusiano, na mara nyingi hutokea kwamba baadhi yao huweka masharti magumu kwa sababu zao binafsi. Au Inawezekana mtu huyu anafanya hivyo ili kujilinda kutokana na...
  7. Chris Kamlenga

    Mafuta au Manukato ya Bint Sudan

    Wadau Habari zenu, Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi. Sasa...
  8. Chris Kamlenga

    Mafuta au manukato ya Bint Sudan

    Wadau Habari zenu, Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka KIKWAPA, lakini pia wengine hutumia kitaalamu zaidi kwa ajili ya kuondoa Nuksi na Mikosi. Sasa...
  9. kyagata

    Harufu ya manukato porini na nywele kusisimka ina maana gani?

    Habari JF, Kwa wenye uzoefu wa hili jambo naomba mnisaidie ni ishara ya nini? Siku tatu nyuma nilienda kijijini kwetu kusalimia,sasa kama mjuavyo ndugu kijijini huwa ni wengi na ukifika huko basi ni lazima ujitahidi uwatembelee wote kuepusha lawama. Kilichonishangaza ni kwamba kuna siku...
  10. R

    Haya ni manukato/perfume gani?

    Habari wakuu Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa. Kwa wajuzi wa manukato naomba kujua ni brand gani za perfume zinaweza kudumu muda mrefu kiasi hiki. Mimi ni...
  11. CONTROLA

    Wanaofanya Biashara ya Manukato (Perfumes) za Kupima...

    Naamini humu sitokosa mtu anaefanya hii biashara kama si mfanya hii biashara ila ana idea na elimu au taarifa kuhusu hii biashara. Ni moja ya biashara ambayo nimechagua kuifanya kwa ukubwa sana huu mwaka Ndani ya biashara yangu Flani hivi. Naombeni muongozo wa namna naweza ianzisha sijui...
  12. Mtafiti77

    Liwapi duka la manukato (perfumes) halisi hapa Dar?

    Ndugu watanashati, Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000). Tafadhali, ninaomba kujuzwa. Nimechoka marashi fake!
  13. Mtafiti77

    Liwapi duka la manukato (perfumes) halisi hapa Dar?

    Ndugu watanashati, Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000). Tafadhali, ninaomba kujuzwa. Nimechoka marashi fake!
  14. zomba

    Bustani ya Manukato

    Bustani Yenye Manukato ya Furaha ya Kihisia (1886) na Muhammad al-Nafzawi , iliyotafsiriwa kwa Kingereza na Richard Francis Burton. zinazohusiana : Ngono . Miradi Dada.miradi dada : Makala ya Wikipedia , kategoria ya Commons , bidhaa ya Wikidata . Bustani Yenye Manukato ( الروض العاطر في نزهة...
  15. Nyani Ngabu

    RC Robert Gabriel awachana wanawake wa Mwanza! Awataka wajifunze kuoga na kupulizia manukato

    Mwanza, Mwanza, Mwanza! Kwa kweli mmebahatika kuwa na maRC wenye vituko. Huyu wa sasa naye sijui atatumbuliwa? Hebu muangalieni hapa…
  16. Expensive life

    Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana?

    Habari Wana JF Huu mjadala nimeukuta mahali, nikaona ni vyema nikauleta huku nishee mawazo yenu. Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana? Ni sahihi mwanaume kuoga mara tatu kwa siku? Kwa upande wangu mimi haya manukato yamenikaa mbali. Kila binadamu iwe ke/me ana uhuru wa...
  17. B

    Nahitaji Manukato wadau

    Samahani wadau wenzangu, natambua kuna uzi wa pafyumu mbalimbali humu lakini nilivyoupitia nimeona nyingi za mle ni bei kali. Wengine sisi walamba nyau kumudu ni kazi. Ombi langu kwenu ni aina gani ya pafyumu kwa mwanaume kijana isiyozidi elfu 15 au 20 angalau ina uzuri fulani naweza nikanukia...
  18. LUCKSON MNYENGU

    Anayelifahamu ua hili zuri la manukato

    Ua zuri lenye harufu ya kuvutia mi nalifahamu kwa jina la KILUA, haya maua nayaona sana maeneo ya pwani ebu wanayoyafahamu wanieleweshe zaidi kuhusu huu mti unaotoa haya maua.
  19. Myahudi Jr II

    Tuheshimu Watu hata kwa Manukato Watumiayo

    1.3m
  20. JITU LA MIRABA MINNE

    Anayetumia pafyumu/manukato romantic inayobamba watu anitonye shemej yenu ameniagiza nimpelekee kuruthumu tu

    Nahitaji kujua pafyumu zingine zinazoizidi ubora na uromantic wa hii kuruthumu. Binafsi siifahamu sijawahi kutumia naomba uzoefu toka kwenu wazee wa baraza.
Back
Top Bottom