maombi kwa samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Wenyeviti wa Mitaa Jimbo la Temeke waungana kumuombea dua Rais Samia kwa lengo la kumtakia afya njema

    Wakuu, Wenyeviti wa mitaa wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, wameungana kwa pamoja kumuombea dua Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kumtakia afya njema, hekima na uongozi mwema ili aendelee kuiongoza nchi kwa amani na kuleta maendeleo. Soma pia: Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Mchungaji Clear Malissa atangaza kufanya maombi Uwanja wa Uhuru kwa vyama vya CHADEMA, CCM na ACT kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Mtumishi wa Mungu Clear Malissa ametangaza kufanya maombi makubwa katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, yatakayohudhuriwa na waumini wa dini zote nchini. Maombi hayo yanalenga kuiombea amani Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea chaguzi, ambazo mara nyingi huambatana na...
  3. Cute Wife

    Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

    Wakuu, Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana. ==== Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha...
Back
Top Bottom