Jamani CCM ifike pahala muwe na huruma na nchi hii hata kama mna mpango wa kutawala milele. Itafika kipindi jamii ya nchi hii iwe kama jamii ya mazombi, maana hawa mazezeta mnaowaandaa ndio mtakuja kuwaachia nchi, na kipindi hicho jamii nzima itakuwa ya namna hiyo.
Wakati gen z wa Kenya...