maombi ya passport

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mona_tz

    Msaada: Huwa inachukua muda gani kupata passport baada ya kukamilisha taratibu zote za maombi?

    Naomba msaada. Mimi niliomba passport ya kusafiria trh 30/03/2023 pale ofisi kuu ya Uhamiaji Kurasini. Nilimaliza taratibu zote za malipo, kupiga picha, Fingerprint na yule ofisa wa Uhamiaji akanambia niende kuchukua passport yangu trh 13/04/2023 cha ajabu nimeenda nimeambiwa tena bado haijatoka...
Back
Top Bottom