Chawa wa mama mkae mbali na huu uzi.
Iko hivi kuna wale watu ukimpigia simu yahn ile mnaagana unamalizia tu kuongea keshakata simu na hapo umepiga wewe. Hawa watu huwa wana maana gani?
Nilikutana na usaliti kutoka kwa rafiki, anaongea shit kuhusu mafanikio yangu.
nilijitenga naye kwa muda (kumpa space)
aliniomba msamaha mara kadhaa, nikachukua muda wa kutafakari nikampa nafasi ya pili,
Lakini akarudia usaliti wake,
Nilim face macho kwa utosi nikamwambia hana utofauti na...
Habari zenu wakuu
Wengi wetu kama sio wote tunawasiliana kwa njia ya simu mara kwa mara, lakini wakati mwingine unakuta kuna ile huna story ya kupiga na aliekupigia/uliempigia, kwangu mimi vitu kama hivi huwa vinanifurahisha haha yaan mtu kapiga ila mnachokiongea sasa!
...
Mnaishia kuongea mambo...
NB📌COMPREHENSIVE INSURANCE COVERAGE IS IN EFFECT/ACTIVE✅
Bei/Price🏷️👉🏽TSH 31.8M
Call📞0747 999 927
TOYOTA VANGUARD
Year: 2010
Engine: 2360Cc
Mileage: 79,000+
Transmission: AUTO
✨Sport Rims
✨Back Camera
✨Push To Start
✨Android Radio
✅Clean Interior
✅In Good Condition
✅Exchange Possible
Jamani ukioiga Airtel kwenda matandao mwingien yeyote yaani hamuwezi kusilizana,sijui kwanini Airtel huduma zimaenza kuwa mbovu hivi?TCRA mmemchukua hatua zipi?
Straight to the point.
Nimekuwa nikifikiria Jambo hili na kuona Kama haliko Sawa.
Kwanza ukisajili laini na kutaka kukopa muda wa maongezi papi hapo hawakubali.
Wanachotaka ni uwe umenunua muda wa maongezi (uwaingizie faida) mara kadhaa ndipo uruhusiwe kukopa.
Sasa Kwa kuwa tayar mteja...
Wakuu habari za usiku huu?
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia hawawezi kurudisha, msaada tafadhali mwenye kuweza kubadilisha muda wa maongezi kuwa pesa...
Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee...
Kabla ya kukubali kuoa ama kuolewa na mtu inapaswa muwe na maongezi marefu kuhusu engo zote za maisha
1. Jadilini kuhusu bilis za maisha atakuwa anazilipa nani na kama mtalipa wote ni kwa mgawanyo gani, usiingie kwenye ndoa kimya kimya ukiwa na silent expectations
2.Mitindo ya malezi, maana...
Habari za leo!
Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana...
Kwa kawaida mabalozi hawaingilii mambo ya ndani ya nchi wanapowakilisha. Bila shaka ndio taratibu. Mambo ya vyama vya siasa ni mambo ya ndani ya nchi husika. Lakinini utasikia balozi wa marekani kukutana na kiongozi wa upinzani kwenye nchi anawakilisha hasa hizi za kiafrika zenye msimamo wa...
Wakuu unaweza kutana na pisi kali sana njia lakini inatembea na kuisimamisha tu inaeza ikachana mkeka ukaibika sana, maana saa nyingne unakuta ni mazingira yana watu.
Ofcoz inakuwaga mziki sana kuanzisha maongezi kwenye mazingira kama haya, ningependa kwa mwenye trick atusaidie.
Habarini wana jamvi.
Nimesoma hii story NAJUTA SANA: Nilizaa nje ya ndoa, mke wangu haniamini tena. Natamani siku zirudi nyuma nikakumbuka yalonikuta miaka ya mwanzo kabisa naanza mahusiano, sio kisa exactly lkn regret nlonayo ni kama ya mwenye aloandika hio story.
Ilikua hivi, miaka hio...
Wanayanga baada ya mechi na Rivers United na kupoteza watasema:
1) Wachezaji hawakuwa na morali baada ya kufungwa na Simba kwenye derby.
2) Wachezaji walikuwa na uchovu wa safari na nguvu nyingi waliitumia kujiandaa na mechi ya watani.
3) Wachezaji waliwadharau wapinzani (by Nabi) hivyo kupoteza...
Ni mechi ambayo Yanga waliingia kwa kujiamini sana, jambo ambalo ni sumu kwenye mpira wa miguu, wameanza mechi kwa taratibu sana uku wakipoteza ovyo mipira wakiwa wanaamini kwamba watafunga muda wowote.
Wenzao wameingia kwa dhamira moja ya kupata magoli ili kuondoa unyonge wa miaka mingi, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.