Kwa dhamira njema kabisa, nina shauku kubwa sana kuona timu yetu ya mpira wa miguu, yaani Taifa Stars, inaenda ama kufuzu kucheza Kombe la Dunia.
Lakini sera mbovu za serikali ya chama tawala CCM, ikiwa ni pamoja na kukosa mikakati karibu kila kona ya wizara na idara, zimesababisha kudumaa kwa...