Wakuu,
Mie sipendi tubishane sana. Wala si kwamba naleta mambo ya ujuaji kiviiile.
Ukiachana na watu wachache wenye kusifia kila jambo, kama unataka kuamini we ulizia watu 10 hapo mtaani kwenu ni kwa kiwango gani wanaridhika na uongozi wa viongozi wao. Kisha waulize wao wangependa viongozi wao...